Mto Sand

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Sand (au Polokwane) ni mto wa Afrika Kusini, tawimto la mto Limpopo.

Urefu wake ni km 200 hivi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Sand kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.