Msikiti wa Ijumaa, Mji Mkongwe
Msikiti wa Ijumaa ni msikiti uliopo Mji Mkongwe, Zanzibar, Tanzania.
Msikiti huo ulikarabatiwa kabisa mwaka wa 1994 kwa mtindo wa kisasa wa arabesque.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |