Maulid Said Abdallah Mtulia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maulid Said Abdallah Mtulia ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kinondoni kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017