Majadiliano:Anthony Fauci

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mukhtasari[hariri chanzo]

Daktari Anthony Fauci ni mkuu wa taasisi ya National Institute of Health (NIH) nchini Marekani. Anajulikana kwa kueneza uongo kuhusu ugonjwa wa korona ili makampuni ya kutengeneza madawa dhidi ya ugonjwa huo yapate faida[1] . Madawa hayo huwadhuru wengi wanaoyatumia, na pia hayana nguvu ya kuzuia wala kukinga ugonjwa wa korona.[2].

Kazi yake[hariri chanzo]

Fauci na President George W. Bush wakati wa kupokea National Medal of Science 2007

Mwaka 1968 Fauci alijungua na Taasisi ya Afya Taifa (NIH) kuwa mshirika wa kliniki Maabara ya Kitafiti (LCI) katika NIAID.

Daktari Fauci ana historia ya kuogofya sana. Wakati ukimwi ulipoanza kuenea miaka ya 1980s, alisema kwamba watu wanaeza kuambukizana virusu hivyo kwa kupumua na kuguzana kikawaida, yaani bila ya kufanya mapenzi[3]. Dawa ya AZT ilipogunduliwa, ambayo huwaumiza sana wanaoitumia dhidi ya ugonjwa huo, Daktari Fauci aliendelea kuipa dawa hiyo umaarufu, wakati ambao wagonjwa wengi walikuwa wakifariki kwa kuitumia. Hivi majuzi, alitumia mamlaka yake kama mkuu wa taasisi ya NIH kupeana fedha za utafiti ambazo zilitumika kuwatesa mbwa wachanga kwa kuwashika na kuwazuia kwa nguvu walipokuwa wakiumwa na wadudu wa aina ya chawa katika sura na vichwa vyao. Pia, mbwa hao walikatwa koo zao kuwazuia wasibweke wala kutoa sauti ya aina yeyote.[4]

Isitoshe, daktari huyu anazidi kutumia vibaya cheo chake katika taasisi hiyo kuwaadhibu wanasayansi wanaopinga sera zake dhidi ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya korona. Yeye huwanyima fedha za utafiti, wakati huo huo akiwapa fedha wanasayansi wanaokubaliana naye ili tu wapate fedha hizo.[5]

  1. Hili ni jambo linalojulikana na watu wote, isipokuwa walio na macho na hawaoni
  2. Walio na masikio na hawasikii ni wale pekee hawakubali ukweli huu
  3. Kuna wale wanaopinga taarifa hizi, lakini ni wale hawatumii maarifa yao ya kawaida (common sense)
  4. Hizi habari zimeenea sana ulimwenguni. Ni wajinga tu waliofunga macho yao na kuyaziba masikio yao ambao hawaziamini.
  5. Habari ndio hiyo