Mafia Nyame

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mafia Nyame (amezaliwa 7 Oktoba 2004) ni mchezaji wa soka mwanamke kutoka Ghana.[1] Alizaliwa na kukulia nchini Ghana, na ni mwananchi halisi wa Ghana.[2] [3]

Mafia Nyame ana urefu wa sentimeta 164.

Mpira wa Klabu[hariri | hariri chanzo]

Mafia Nyame ni mchezaji wa soka mwanamke kutoka Ghana na anacheza kama mshambuliaji. Alicheza kwa klabu ya Faith Ladies FC kuanzia mwaka 2001 hadi 2023, na kwa sasa anacheza kwa klabu ya FAR Rabat.[4] Alishiriki katika Kombe la Dunia la Wanawake chini ya miaka 20.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mafia Nyame :: FAR Rabat :: Player Profile :: playmakerstats.com". www.playmakerstats.com (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2024-03-28. 
  2. "Ghana - M. Nyame - Profile with news, career statistics and history - Soccerway". ng.soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-28. 
  3. "GHPL Live - Ghana Premier League Live". www.ghanaleaguelive.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-28. 
  4. "Morocco - AS Forces Armées Royales - Results, fixtures, squad, statistics, photos, videos and news - Soccerway". ng.soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-28. 
  5. "Mafia Nyame :: FAR Rabat :: Player Profile :: playmakerstats.com". www.playmakerstats.com (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2024-03-28. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mafia Nyame kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.