Médiatrice Ahishakiye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mediatrices AHISHAKIYE, mjumbe wa Bunge la Rwanda.

Médiatrice Ahishakiye (aliyezaliwa mwaka 1978 nchini Rwanda) ni mwanasiasa wa Rwanda, kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Wawakilishi katika Bunge la Rwanda.[1]

Ahishakiye anawakilisha Mkoa wa Kusini na wilaya yake ni Huye.

Ahishakiye awali alifanya kazi kama mwalimu katika shule mbalimbali, alikuwa mkuu wa shule ya sekondari, ana hudumu kama katibu wa baraza la Wilaya ya Gisagara, na kama mwanachama wa baraza la Wilaya ya Gisagara.

Katika uchaguzi wa bunge wa mwaka 2018, Ahishakiye alichaguliwa kuwa mjumbe wa Kike wa Bunge la Wawakilishi katika Bunge la Rwanda.[2]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Ana shahada ya kwanza katika Psikolojia-pedagogia.


Kazi[hariri | hariri chanzo]

  • Kutoka 2018 hadi sasa: Mbunge
  • Kutoka 2011-2018: Mjumbe wa Baraza la Wilaya
  • Kutoka 2011-2016: Mwenyekiti wa sheria katika SNF (Ngazi ya Wilaya)
  • Kutoka 2011-2016: Katibu wa Baraza la Wilaya
  • Kutoka 2009-2011: Mwenyekiti wa Baraza la Sekta
  • Kutoka 2009-2018: Mkuu wa Shule
  • Kutoka 2001-2010: Mwenyekiti wa Mahakama ya Gacaca katika Sekta ya Muhororo
  • Kutoka 2000 - 2003: Mwalimu katika EP MUHORORO.[1]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.parliament.gov.rw/chamber-of-deputies-2/member-profile/deputies-profiles
  2. https://boo.world/database/profile/1072666/m%C3%A9diatrice-ahishakiye-personality-type
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Médiatrice Ahishakiye kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.