Lugha za Kibwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lugha za Bwa (kama vile Bwamu, Bomu) ni tawi la lugha za Gur zinazozungumzwa takribani nusu milioni ya watu wa kabila la Bwa nchini Burkina Faso na Mali.

Watu wa kabila la Bwa, na lugha zao, ni mojawapo ya makabila kadhaa yanayoitwa Bobo kwa lugha ya Bambara. Bwa wanatofautishwa kama Bobo Wule/Oule "Bobo Mwekundu". Lugha za Bwa hazieleweki kati yao; Ethnologue inakadiria kuwa uwezo wa kuelewana kwa lugha za Ouarkoye na Cwi ni asilimia 30%, ingawa lahaja nyingine zinaelewana zaidi.

Lugha[hariri | hariri chanzo]

  • Bwamu (Ouarkoye)
  • Láá Láá Bwamu
  • Cwi Bwamu (Bwamu Twi)
  • Bomu

Marejeo[hariri | hariri chanzo]