Kristina M. Johnson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kristina M. Johnson (amezaliwa 7 Mei 1957) ni mhandisi na afisa wa zamani wa serikali ya Marekani ambaye aliwahi kuwa chansela wa 13 wa Chuo Kikuu cha Jimbo la New York kutoka Septemba 2017 hadi Juni 2020.

Mnamo Juni 2020, bodi ya Wadhamini ya Chuo Kikuu cha Jimbo la Ohio ilimtaja kama raisi wa 16 wa chuo hicho, akimrithi Michael V. Drake anayestaafu. [1] Amekuwa kiongozi katika ukuzaji wa mifumo ya usindikaji wa optoelectronic, upigaji picha wa 3-D, na mifumo ya usimamizi wa rangi. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Baird, Nathan (2020-06-03). "SUNY Chancellor Kristina M. Johnson to be next Ohio State University President: Reports". cleveland (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-06-03. 
  2. "Kristina Johnson". National Inventors Hall of Fame. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 February 2015. Iliwekwa mnamo 4 February 2015.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kristina M. Johnson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.