Kileelau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kileelau ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waleelau. Mwaka wa 1995 idadi ya wasemaji wa Kileelau imehesabiwa kuwa watu 5000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kileelau iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kileelau kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.