Kichaura

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kichaura (au Kitutet) ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Uhindi inayozungumzwa na Wachaura. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kichaura imehesabiwa kuwa watu 5910. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kichaura iko katika kundi la Kinikobari.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichaura kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.