Kibibimlima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kibibimlima
Kibibimlima
Kibibimlima
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Mimea
Faila: Angiosperms
Nusufaila: Eudicot
Ngeli: Asterids
Oda: Asterales
Familia: Astereceae

Asili ya maua haya ni Ulaya ya magharibi, ya kati na ya kaskazini.

Yaliyomo

Ukuaji[hariri]

Mmea wenye maua haya huwa na mizizi midogo inayomea ardhini lakini si kwa kuchimba sana ndani. Mmea wa maua haya una matawi madogo ya mviringo au matawi yenye kufanana kijiko yenye refi wa sentimita 2-5, ambayo hupatikana karibu sana na ardhi. Maua yenyewe ni sentimita 2-3 kwa upana yakiwa na sehemu nyeupe iliyozunguka sehemu nyingine ya samawati;kibibimlima ni daikoti.


Matumizi[hariri]

Kibibimlima haathiriki na ukataji wa nyasi kwa hivyo yeye huwa kama mmea haribifu bustanini, ingawa wachache hupenda umbo la maua haya. Kuna aina za kibibimlima zinazopandwa kwa ajili ya kuuza, zenye maua makubwa zaidi yenye petali zenye upana wa sentimita 5-6

Ua linatumika kimatibabu kwa sababu ya sifa zake za kufanya tishu za mwili kuwa ndogo.[1] Katika Roma ya kale, madaktari wa upasuaji waliofuata majeshi vitani waliwaamuru watumwa kukusanya magunia ya kibibimlima ili kupata kutoa maji kutoka maua yale.

Kibibimlima kimetumika tangu jadi kutengeneza vifaa vya kuremebsha katika michezo ya watoto.[2]

Marejeo[hariri]

  1. Howard, Michael. Traditional Folk Remedies (Century, 1987), p129
  2. Children's 'right to play'. BBC News. BBC (2002-08-07). Rudishwa juu ya 2008-11-02.

Viungo vya Nje[hariri]