Katsushika Hokusai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Katsushika Hokusai (1760– 10 Mei 1849) alikuwa mchoraji mashuhuri nchini Japan. Aliishi wakati wa nasaba ya Edo. Alichora hasa picha za nchi na mazingira. Mfumo aliotumia hasa ilikuwa chapisho za picha nakhshi katika ubao. Mtindo wake hujulikana kama "ukiyo-e".

[hariri] Picha mashuhuri za Hokusai

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine