Karlstad

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa la Karlstad

Karlstad ni mji nchini Uswidi. Mji ulianzishwa 1584. Kuna wakazi 58,544 (mwaka 2005). Kuna pia Chuo Kikuu cha Karlstad.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Karlstad ilianzishwa mwaka 1584 na Karl IX.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 29.92 km².

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Karlstad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.