Jouli

Kutoka Wikipedia

Jouli ni kizio cha upimaji wa nishati, kazi na joto.

Fomula yake ni nyutoni moja zidisha kwa mita moja (1J = 1N × 1m)

Maelezo yake ni kazi inayofanywa kama kani ya nyutoni moja inatumiwa kwa umbali wa mita moja.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jouli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jouli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi