John Mnyika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka John John Mnyika)

John Mnyika ni mwanasiasa wa chama cha CHADEMA nchini Tanzania aliyechaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Ubungo tangu mwaka 2010.[1][2]

Kwa sasa John Mnyika ni katibu mkuu wa chama hicho akiwa ameteuliwa rasmi tarehe 20 Desemba 2019. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Member of Parliament CV". Bunge la Tanzania. 2010.  Text "imeandaliwa Mei 2017" ignored (help)
  2. https://www.parliament.go.tz/index.php/administrations/20
  3. "Mnyika katibu mkuu Chadema, Kigaila na Mwalimu manaibu wake". Mwananchi (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-01-26.