John H. Knox
John H. Knox alikuwa ripota maalum wa kwanza wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu na masuala ya mazingira akihudumu kuanzia 2012 hadi 2018.[1]
Knox kwa sasa ni Profesa wa sheria ya Kimataifa katika chuo kikuu cha Wake Forest.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "John H. Knox". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-09-11. Iliwekwa mnamo 2022-05-14.