Hirudo verbana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hirudo verbana.

Hirudo verbana ni aina ya ruba ambayo kwa muda mrefu ametumika kwa tiba ya kitamaduni barani Ulaya kama H. medicinalis, lakini hivi majuzi imetambuliwa kama spishi tofauti.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Elliott, J. Malcolm; Kutschera, Ulrich (2011). "Medicinal Leeches: Historical use, Ecology, Genetics and Conservation". Freshwater Reviews (kwa Kiingereza) 4 (1): 21–41. ISSN 1755-084X.  Unknown parameter |= ignored (help); Unknown parameter |s2cid= ignored (help)
Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hirudo verbana kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.