Hafid Abdessadek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hafid Abdessadek

Hafid Abdessadak (alizaliwa 4 Februari 1974[1] au 24 Februari 1974[2]) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu kutoka Moroko. Abdessadak amecheza katika klabu ya Raja Casablanca, FAR Rabat, OC Safi na MAS Fez.[3] Alichezea Morocco mara nne[3] na aliteuliwa kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2006.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hafid Abdessadek". footballdatabase.eu. Iliwekwa mnamo 2018-05-14. 
  2. Strack-Zimmermann, Benjamin. "Hafid Abdessadek". www.national-football-teams.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-05-14. 
  3. 3.0 3.1 Hafid Abdessadek at National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hafid Abdessadek kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.