Samani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Fanicha)
Fanicha katika picha.

Samani (far. سامان) (pia: fanicha, ing. furniture) ni neno la kutaja aina ya vitu kama viti, meza na kabati.

Kwa maana nyingine, samani au fanicha ni kama viti vilivyopo ndani ya nyumba na watu wanaweza kutumuia kwa kukalia, kulalia na vinginevyo vinavyotumiwa kwa kuwekea vitu vidogo kama nguo au vikombe. Samani huundwa kwa kutumia mbao, vipande vya mbao, ngozi, gundi au parafujo (yaani screws) n.k.