Chin chin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chin chin

Chin chin ni vitafunio vya kukaanga vya Afrika Magharibi.

Ni sawa na vitafunio vya kukaanga vya Scandinavia, vinaokwa kama donati (unga wa ngano na vitu vingine vya kawaida vya kuokea). Chin chin iinaweza kuwa na kunde. Watu wengi huoka kwa kungumanga (kinogeshi) ili viwe vitamu.

Kwa kawaida unga huo hukandwa na kukatwa katika miraba midogo ya inchi moja (au zaidi), unene wa karibu robo ya inchi, kabla ya kukaangwa.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chin chin kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.