Boukha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
chupa ya Boukha

Boukha (Kiarabu cha Tunisia: بوخة) ni  kinywaji kilichotolewa kutokana na  mtini.  Imetokea katika jumuiya ya Wayahudi wa Tunisia, pale ambapo inazidi kuzalishwa kwa wingi.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]