Bilali Idrissa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ayoub Idrissa Bilali (alizaliwa 21 Julai 2001) ni mchezaji wa soka wa Tanzania ambaye anacheza kama kiungo wa kati katika Ligi ya kwanza ya klabu ya FBiH ya Goražde .

Klabu[hariri | hariri chanzo]

Mnamo Julai 2022 alisaini Goražde kwa uhamisho wa bure.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bilali Idrissa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.