Assetou Traoré

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Assetou Traoré (alizaliwa Bamako, 27 Februari 1995) ni mwanamke mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye amekuwa akiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Mali na klabu ya Cavigal Nice huko Ufaransa - LF2 (W).[1][2][3]

Historia ya taaluma[hariri | hariri chanzo]

Assetou Traore alicheza kwa C'Chartres wakati wa ligi ya LF2 katika msimu wa 2019-2020 ambapo alipata rekodi yake ya juu katika kuchukua mpira katika mchezo wa Ufaransa-LF2(W) mnamo tarehe 13 Desemba 2019. Tarehe 3 Februari 2024, alifanikiwa kufikia rekodi yake ya juu ya alama katika mchezo wa Ufaransa-LF2(W) baada ya kuhamishiwa klabu ya Cavigal Nice katika mchezo wao wa ugenini ambapo walipoteza dhidi ya L.T. Meylan, 78–76.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Assetou Traore". play.fiba3x3.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-25. 
  2. "Assetou Traoré - Player Profile". FIBA.basketball (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-03-25. 
  3. Eurobasket. "Assetou Traore, Basketball Player, News, Stats - Eurobasket". Eurobasket LLC. Iliwekwa mnamo 2024-03-25. 
  4. Proballers. "Assetou Traore, Basketball Player". Proballers (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-03-25. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Assetou Traoré kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.