Antony Peter Mavunde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Antony Peter Mavunde ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Dodoma mjini kwa miaka 20152020. [1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://fol.mzumbe.ac.tz/index.php/en/alumni-corner/item/52-hon-antony-peter-mavunde-mp