Amandine Buchard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Buchard mnamo Agosti 8, 2021 huko Palais de Chaillot
Buchard mnamo Agosti 8, 2021 huko Palais de Chaillot

Amandine Buchard (alizaliwa tarehe 12 julai 1995) ni mfaransa mcheza judo.[1]Alifanikiwa kuiwakilisha ufaransa katika michezo ya olimpiki mwaka 2020 katika majira ya joto[2] na kutunukiwa medali ya fedha katika michezo ya watu wenye uzito nusu ya unaohitajika.pia alishinda medali ya dhahabu katika michezo ya timu mchanganyiko.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "Amandine Buchard", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-11-27, iliwekwa mnamo 2021-12-04 
  2. "Amandine Buchard", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-11-27, iliwekwa mnamo 2021-12-04