Ally Yusuf Suleiman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ally Yusuf Suleiman ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mgogoni kwa miaka 20152020. [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.parliament.go.tz/index.php/administrations/503