Akeem Agbetu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Akeem Oriyomi Agbetu

Akeem Oriyomi Agbetu (alizaliwa 10 Machi 1988) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka timu ya taifa ya Nigeria, ambaye anacheza kama mshambuliaji.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Kwa msimu wa 2014-2015 Agbetu alijiunga na klabu ya Le Havre AC ya katika ligi ya 2 akikubali mkataba wa miaka miwil . [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Alexandre Chochois. "Le Havre : Un offensif nigérian en renfort (off.)", 18 September 2014. Retrieved on 18 September 2014. Archived from the original on 2014-12-21. 

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Akeem Agbetu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.