Saint Lucia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Saint Lucia
Bendera ya Saint Lucia Nembo ya Saint Lucia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: The Land, The People, The Light
Wimbo wa taifa: "Sons and Daughters of Saint Lucia"
Royal anthem: "God Save the King"
Lokeshen ya Saint Lucia
Mji mkuu Castries
14°1′ N 60°59′ W
Mji mkubwa nchini Castries
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali

Mfalme
Gavana Mkuu
Waziri Mkuu
Demokrasia
Jumuiya ya Madola
Charles III wa Uingereza
Cyril Errol Charles
Philip Pierre
Uhuru
Tarehe
Kutoka Uingereza
22 Februari 1979
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
620 km² (ya 193)
1.6%
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2005 sensa
 - Msongamano wa watu
 
2005 (ya 187)
160,765
298/km² (ya 41)
Fedha East Caribbean dollar (XCD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC)
Intaneti TLD .lc
Kodi ya simu +1-758

-



Ramani ya St. Lucia

Saint Lucia ni nchi ya kisiwani katika bahari ya Karibi na sehemu ya visiwa vya Antili Ndogo. Iko katikati ya visiwa vya Saint Vincent na Grenadini, Barbados na Martinique.

Kisiwa kina milima mingi.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Wakazi walio wengi ni wa asili ya Afrika (70.3%) au machotara Waafrika-Wazungu (10.8%) na Waafrika-Wahindi (10%).

Lugha rasmi ni Kiingereza, lakini wananchi wengi (95%) wanaongea kwa kawaida Patwah, Krioli inayotokana na Kifaransa.

Upande wa dini, wengi ni Wakristo: 70% ni Wakatoliki, 7% Waadventista Wasabato, 6% Wapentekoste, n.k.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Lucia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.