Shirazi, Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Shirazi, kenya)

Shirazi (pia inajulikana kama kifunzi, kifundi au chifundi) ni kijiji kinachopatikana pwani mwa Kenya. Ni eneo linalotawaliwa na watu wa jamii ya Washirazi.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Trillo, Richard (2002). Kenya (kwa Kiingereza). Rough Guides. ISBN 978-1-85828-859-8.
  2. Allen, James De Vere (1993). Swahili Origins: Swahili Culture & the Shungwaya Phenomenon (kwa Kiingereza). J. Currey. ISBN 978-0-85255-075-5.