Audiologia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Tafadhali saidia kwa kuboresha makala hii kwa kuipanua. Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. Makala hii imetiwa alama tangu tarehe Septemba 2010 |
Audiologia (kutoka kilatini: audire, "kusikia"; na kigiriki: λόγος, logos, "elimu") ni kiwanja cha sayansi kinachohusika na masomo kuhusu sikio, kusikia na magonjwa ya masikio. Wanaaudiologia hutumia ujuuzi wao, kupeleleza kiwango cha kusikia cha mtu binafsi na kama kuna tatizo, huweza kujua tatizo limeketi wapi na pia hueleza matibabu yepi yanawezekana au yanapatikana.