Audiologia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Audiologia (kutoka kilatini: audire, "kusikia"; na kigiriki: λόγος, logos, "elimu") ni kiwanja cha sayansi kinachohusika na masomo kuhusu sikio, kusikia na magonjwa ya masikio. Wanaaudiologia hutumia ujuuzi wao, kupeleleza kiwango cha kusikia cha mtu binafsi na kama kuna tatizo, huweza kujua tatizo limeketi wapi na pia hueleza matibabu yepi yanawezekana au yanapatikana.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine