1109 KK

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala hii inahusu mwaka 1109 KK (kabla ya Kristo).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Mfalme Tiglath-Pileser I wa Ashuru (Assyria) aliagiza kuandikwa habari za ushindi wake dhidi ya mataifa ya majirani katika hati iliyowekwa katika hekalu ya mji wa Ashuru kwa mwandiko wa kikabari tarehe 29 ya mwezi wa Kuzallu wakati wa Kuhani Mkuu Ina-iliya-hallik ambayo ilikuwa mwaka 1109 KK [1][2]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Assyrian Origins: Discoveries at Ashur on the Tigris : Antiquities in the Vorderasiatisches Museum, Berlin, Prudence Oliver Harper uk. 122-124
  2. Tafsiri ya Kiingereza katika: BABYLONIAN AND ASSYRIAN LITERATURE COMPRISING THE EPIC OF IZDUBAR, HYMNS, TABLETS, AND CUNEIFORM INSCRIPTIONS ,REVISED EDITION 1901, fungu "Inscription of Tiglath Pileser I."
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 1109 KK kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.