Yohane wa Brebeuf

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Yohane alivyochorwa.
Wajesuiti wafiadini wa Amerika Kaskazini.

Yohane wa Brebeuf, S.J. (Condé-sur-Vire, Normandy, Ufaransa 25 Machi 1593 – karibu na Midland, Ontario, Kanada, 16 Machi 1649) alikuwa padri wa Wajesuiti mmisionari kwa Wahuroni wa Amerika Kaskazini tangu mwaka 1625 (isipokuwa 1629-1633)[1].

Alikamatwa pamoja na Waindio hao, akateswa akauawa na Wairoki, kabila lingine la Waindio.

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 21 Juni 1925, na kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1930[2].

Sikukuu ya kundi lake la wafiadini huadhimishwa tarehe 19 Oktoba, lakini ya kwake mwenyewe huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Blackburn, Carol (2000). [[[:Kigezo:Google books]] Harvest of Souls: The Jesuit Missions and Colonialism in North America, 1632–1650]. Montréal: McGill–Queens University Press. ISBN 0-7735-2047-3. {{cite book}}: Check |url= value (help); Invalid |ref=harv (help)
  • Brébeuf, J. (2008). "The Mission to the Hurons (1635–37)". Katika Calloway, C.G. (mhr.). First People: A Documentary of American Indian History (toleo la 3rd). Boston, Massachusetts: Bedford. ISBN 978-0-3126-5362-0. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Gray, Charlotte (2004). The Museum Called Canada: 25 Rooms of Wonder. Random House. ISBN 0-6793-1220-X. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Greer, Allan, mhr. (2000). The Jesuit Relations: Natives and Missionaries in Seventeenth-Century North America. Boston: Bedford/St. Martins. ISBN 0-3122-2744-2. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Greer, Allan (Aprili 2000). "Colonial Saints: Gender, Race and Hagiography in New France". The William and Mary Quarterly. 57 (2). Omohundro Institute of Early American History and Culture: 323–348. doi:10.2307/2674478. JSTOR 2674478.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Leahey, Margaret J. (1995). "'Comment peut un muet prescher l'évangile' Jesuit Missionaries and the Native Languages of New France". French Historical Studies. 19 (1). Duke University Press: 105–131. doi:10.2307/286901. JSTOR 286901. {{cite journal}}: Invalid |ref=harv (help)
  • McGee, Timothy J. (1985). The Music of Canada. New York: W. W. Norton & Company. ISBN 0-393-02279-X. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • "8 Jesuit Martyrs Declared Saints", The New York Times, 30 June 1930. 
  • Parkman, Francis (1888). The Jesuits in North America in the Seventeenth Century. Boston: Little, Brown, and Company. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Talbot, Francis X. (1949). Saint Among the Hurons: The Life of Jean de Brébeuf. New York: Harper & Brothers. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Trigger, Bruce (1986). [[[:Kigezo:Google books]] Natives and Newcomers: Canada's "Heroic Age" Reconsidered]. Montreal: McGill–Queen's University Press. ISBN 0-7735-0595-4. {{cite book}}: Check |url= value (help); Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.