Yohane Fransisko Regis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Yohane Fransisko Regis alivyochorwa.

Yohane Fransisko Regis, S.J. (Fontcouvert, 31 Januari 1597 - Lalouvesc, 31 Desemba 1640) alikuwa padri wa Shirika la Yesu nchini Ufaransa.

Baada ya kuhudumia wagonjwa wa tauni, alikwenda kuhubiri na kuungamisha mfululizo jimbo la Viviers kuanzia mwaka 1633 hadi kifo chake.

Alitangazwa na Papa Klementi XI kuwa mwenye heri tarehe 18 Mei 1716, halafu Papa Klementi XII alimtangaza mtakatifu tarehe 5 Aprili 1737.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyoiaga dunia[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Holland, Robert E. (1922). The Life of Saint John Francis Regis of the Society of Jesus. Chicago, Illinois: Loyola University Press. ISBN 9781117653297. OCLC 1343407.
  • Hoever, Hugo H. (1955). Lives of the saints: for every day of the year: in accord with the norms and principles of the new Roman calendar (toleo la New rev.). New York: Catholic Book Pub. Co. ISBN 0899428703. OCLC 24886449.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.