WatchOS

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

WatchOS ni mfumo wa uendeshaji unaotumiwa kwenye Apple Watch[1]. Ni kama mfumo wa saa hiyo, inayoruhusu kifaa kufanya mambo mengi kama vile kupima mazoezi, kupokea ujumbe, kuangalia saa na tarehe, na hata kutumia programu mbalimbali. Inaunganisha saa na mfumo wa iOS kwenye simu ya iPhone ili kurahisisha mwingiliano na kutoa huduma anuwai.


Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Apple Watch runs 'most' of iOS 8.2, may use A5-equivalent processor". AppleInsider. Aprili 23, 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Aprili 26, 2015. Iliwekwa mnamo Aprili 25, 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.