Sarang'ombe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sarang'ombe ni kata ya Nairobi, mji mkuu wa Kenya, katika eneo bunge la Kibra[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-13. Iliwekwa mnamo 2021-06-18.