Saminu Abdullahi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Saminu Kwari Abdullahi (alizaliwa 3 Januari 2001) ni mchezaji wa kandanda wa Nigeria anayechezea klabu ya FC Veles Moscow ya Urusi.

ushiriki Katika Klabu[hariri | hariri chanzo]

Abdullahi Alianza kwa mara ya kwanza katika Ligi ya Kitaifa ya Soka ya Urusi katika klabu ya FC Veles Moscow tarehe 31 Julai 2021 katika mchezo dhidi ya klabu ya FC Tom Tomsk. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Game Report by FNL". 31 Julai 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Saminu Abdullahi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.