Paladi wa Uskoti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paladi wa Uskoti (kwa Kilatini: Palladius; Gallia, 408 - 457 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa kisiwa cha Ireland lakini baada ya kukataliwa huko alihamia Uskoti hadi kifo chake [1].

Alipokuwa shemasi, ndipo Papa Selestini I alipompatia uaskofu na kumtuma katika Funguvisiwa la Britania kupinga Upelaji.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • "New light on Palladius?", Peritia iv (1986), pp. 276–83.
  • Ó Cróinín (2000). "Who was Palladius 'First Bishop of the Irish'?". Peritia. 14: 205–37. doi:10.1484/j.peri.3.400.
  • Vita tripartita Sancti Patricii (MS).
  • O'Rahilly, Thomas F. (1942). The Two Patricks: A Lecture on the History of Christianity in Fifth-Century Ireland. Dublin: Dublin Institute for Advanced Studies.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.