Oswadi wa York

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Oswadi pamoja na Eadnoth katika mchoro mdogo.

Oswadi wa York (alifariki 29 Februari 992) alikuwa mmonaki kwanza kanoni, baadaye aliyepata kuwa askofu wa Worcester kuanzia mwaka 971 halafu wa York nchini Uingereza kuanzia mwaka 972 hadi kifo chake.

Msomi mfurahivu na mpole, alichangia urekebisho wa Kanisa na wa umonaki kwa kuingiza kanuni ya Mt. Benedikto katika monasteri mengi.

Alifariki wakati wa kuwaosha miguu maskini kama ilivyokuwa kawaida yake wakati wa Kwaresima.

Tangu kale Paulinus anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Walsh New Dictionary of Saints p. 459

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Brooks, N. P. (2004). "Oswald (St Oswald) (d. 992)". Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press. http://www.oxforddnb.com/view/article/20917. Retrieved 22 April 2008.
  • Dodwell, C. R. (1985). Anglo-Saxon Art: A New Perspective. Ithaca, NY: Cornell University Press. ISBN 0-8014-9300-5.
  • Fletcher, R. A. (2003). Bloodfeud: Murder and Revenge in Anglo-Saxon England. Oxford: Oxford University Press. ISBN 0-19-516136-X.
  • Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X.
  • Knowles, David (1976). The Monastic Order in England: A History of its Development from the Times of St. Dunstan to the Fourth Lateran Council, 940–1216 (toleo la Second reprint). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-05479-6.
  • Lawrence, C. H. (2001). Medieval Monasticism: Forms of Religious Life in Western Europe in the Middle Ages (toleo la Third). New York: Longman. ISBN 0-582-40427-4.
  • Lutz, Cora E. (1977). Schoolmasters of the Tenth Century. Archon Books. ISBN 0-208-01628-7.
  • Richardson, H. G.; Sayles, G. O. (1963). The Governance of Mediaeval England: From the Conquest to Magna Carta. Edinburgh: Edinburgh University Press. OCLC 504298.
  • Stenton, F. M. (1971). Anglo-Saxon England (toleo la Third). Oxford: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-280139-5.
  • Walsh, Michael J. (2007). A New Dictionary of Saints: East and West. London: Burns & Oats. ISBN 0-86012-438-X.
  • Williams, Ann (2003). Æthelred the Unready: The Ill-Counselled King. London: Hambledon & London. ISBN 1-85285-382-4.
  • Wormald, Patrick (1999). The Making of English Law: King Alfred to the Twelfth Century. Cambridge, MA: Blackwell Publishers. ISBN 0-631-22740-7.

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.