Nothelm wa Canterbury

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nothelm wa Canterbury (pia Nothelm;[1] alifariki 17 Oktoba 739) alikuwa askofu mkuu wa Canterbury kuanzia mwaka 735[2].

Akiishi katika Karne za Kati, aliandikiana na watakatifu Beda Mheshimiwa[3][4] na Bonifas mfiadini[5].

Tangu kale yeye pia anaheshimiwa na Wakatoliki[6] na Waanglikana[6] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa siku ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mayr-Harting Coming of Christianity p. 69
  2. Fryde, et al. Handbook of British Chronology p. 214
  3. Hindley Brief History of the Anglo-Saxons p. 93
  4. Keynes "Nothhelm" Blackwell Encyclopedia of Anglo-Saxon England
  5. Brooks Early History of the Church of Canterbury pp. 83–84
  6. 6.0 6.1 Farmer Oxford Dictionary of Saints pp. 391-392

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Blair, Peter Hunter; Blair, Peter D. (2003). An Introduction to Anglo-Saxon England (toleo la Third). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-53777-0.
  • Brooks, Nicholas (1984). The Early History of the Church of Canterbury: Christ Church from 597 to 1066. London: Leicester University Press. ISBN 0-7185-0041-5.
  • Cubitt, Catherine (1995). Anglo-Saxon Church Councils c.650-c.850. London: Leicester University Press. ISBN 0-7185-1436-X.
  • Farmer, David Hugh (2004). Oxford Dictionary of Saints (toleo la Fifth). Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-860949-0.
  • Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X.
  • Hindley, Geoffrey (2006). A Brief History of the Anglo-Saxons: The Beginnings of the English Nation. New York: Carroll & Graf Publishers. ISBN 978-0-7867-1738-5.
  • Hunt, William; Harting-Mayr, Henry (revised) (2004). "Nothhelm (d. 739)" (Kigezo:ODNBsub). Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press. doi:10.1093/ref:odnb/20368
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/20368. Retrieved 7 November 2007.
      .
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.