Nonoso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu katika abasia ya Thierhaupten.

Nonoso (alifariki mlima Soratte, Lazio, 570 hivi) alikuwa abati wa monasteri juu ya mlima huo wa Italia ya Kati[1].

Habari zake ziliandikwa na Papa Gregori I kwa kusimulia miujiza yake mitatu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Alban Butler, David Hugh Farmer, Paul Burns, Butler's Lives of the Saints (Liturgical Press, 1995), 10.
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.