Nikola wa Tolentino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Nikola wa Tolentino alivyochorwa.

Nikola wa Tolentino, O.S.A. (kwa Kiitalia Nicola da Tolentino; Sant'Angelo, 1246 hivi - 10 Septemba 1305) alikuwa padri maarufu kwa maisha ya kiroho.

Mkali kwake mwenyewe katika kujinyima na kusali kwa bidii, alikuwa na huruma kwa watu wengine, akifanya mara nyingi malipizi kwa niaba yao[1].

Alitangazwa na Papa Eugeni IV kuwa mtakatifu tarehe 5 Juni 1446.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.