Mkoa wa Ngounié

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Ngounié)
Mkoa wa Ngounié
Mkoa wa Ngounié

Ngounié ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 37,750.

Mji mkuu wa mkoa huu ni Mouila.

Kwa upande wa kusini-mashariki, Ngounié umepakana na Mkoa wa Niari wa Jamhuri ya Kongo. Kwa upande wa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:

Wilaya[hariri | hariri chanzo]

Wilaya za Ngounié

Mkoa wa Ngounié umegawanyika katika wilaya 7: