Nenda kwa yaliyomo

Mto Mutindi (Kitui)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Mutindi (Kitui) ni jina la miwili kati ya mito inayopatikana katika kaunti ya Kitui, mashariki mwa Kenya.

Maji yake yanaishia katika mto Tana, ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika bahari ya Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]