Maruta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo ukimwonyesha Mt. Maruta askofu.

Maruta (karne ya 4415) alikuwa mmonaki wa Kanisa la Mashariki[1] maarufu kama askofu wa Mayferkat (leo Silvan nchini Uturuki) kwa zaidi ya miaka 10 ambapo alifaulu kuzuia dhuluma ya Dola la Persia dhidi ya Wakristo[2].

Hivyo aliweza kujenga upya makanisa, kukusanya humo masalia ya wafiadini, kuendesha sinodi mbili zilizolipa Kanisa hilo muundo imara, pamoja na kuandika vitabu vya historia ya Kanisa na ufafanuzi wa Biblia, tenzi, anafora n.k.[3]

Rafiki wa Yohane Krisostomo, alishiriki Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli (481)[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Februari[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The Armenian Life of Marutha of Maipherkat, Ralph Marcus, The Harvard Theological Review, Vol. 25, No. 1 (Jan., 1932), 47.
  2. The Armenian Life of Marutha of Maipherkat, Ralph Marcus, The Harvard Theological Review, 50.
  3. His writings include:
    • Acts of the Persian Martyrs (these acts remember the victims of the persecution of Shapur II and Yazdegerd I)
    • History of the Council of Nicaea
    • A translation in Syriac of the canons of the Council of Nicaea
    • A Syrian liturgy, or anaphora
    • Commentaries on the Gospels
    • Acts of the Council of Seleucia-Ctesiphon (26 spurious canons of a synod held in 410)
    He also wrote hymns on the Holy Eucharist, on the Cross, and on saints killed in Shapur's persecution.
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92498
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.