Laurenti wa Canterbury

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi la Mt. Laurenti huko Canterbury.

Laurenti wa Canterbury (alifariki 2 Februari 619) kuanzia mwaka 604 alikuwa askofu mkuu wa pili wa Canterbury (Uingereza).

Alikuwa ametumwa huko na Papa Gregori I mwaka 595 kama mmisionari kwa Waangli na Wasaksoni pamoja na Augustino wa Canterbury[1]. Aliendeleza na kustawisha kazi ya huyo mtangulizi wake, hasa kwa kumuongoa mfalme Edbati.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2] au 3 Februari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Bede (1988). A History of the English Church and People. New York: Penguin Classics. ISBN 0-14-044042-9. {{cite book}}: Unknown parameter |editors= ignored (|editor= suggested) (help)
  • Blair, Peter Hunter (1990) [1970]. The World of Bede (toleo la Reprint). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-39819-3.
  • Brooks, Nicholas (1984). The Early History of the Church of Canterbury: Christ Church from 597 to 1066. London: Leicester University Press. ISBN 0-7185-0041-5.
  • Brooks, N. P. (2004). "Laurence (d. 619)". Oxford Dictionary of National Biography (October 2005 revised ed.). Oxford University Press. doi:10.1093/ref:odnb/16166
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/16166. Retrieved 7 November 2007. Kigezo:ODNBsub
      .

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Sharpe, R. (1995). "The Setting to St Augustine's Translation, 1091". In Eales, R.. Canterbury and the Norman Conquest: Churches, Saints, and Scholars, 1066-1109. London: Hambledon Press. pp. 1–13. ISBN 185285068X
      .
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.