Kristofa Magallanes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha halisi ya Padri Kristofa.
Sanamu ya Cristóbal Magallanes Jara nje ya Kanisa kuu la Guadalajara, Jalisco, Meksiko.

Kristofa Magallanes (kwa Kihispania Cristóbal Magallanes Jara, Totatiche, Jalisco, Mexico, 30 Julai 1869 - Colotlán, Jalisco, 25 Mei 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero kutokana na chuki dhidi ya Kristo Mfalme na Kanisa lake [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.