Kieran wa Saighir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kieran katika dirisha la kanisa.

Kieran wa Saighir (pia: Ciaran Mzee; Cleire, karne ya 5 - 530 hivi) alikuwa mmonaki wa Ireland na askofu wa Saighir, Ossory[1].

Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.

Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe 5 Machi, sikukuu yake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Gratton-Flood, W. H. (Machi 1, 1907), "The Twelve Apostles of Erin", The Catholic Encyclopedia, juz. I, New York: Robert Appleton Company, iliwekwa mnamo 2008-02-09{{citation}}: CS1 maint: date auto-translated (link).
  • Graves, Rev. James (1857), The History, Architecture, and Antiquities of the Cathedral Church of St. Canice, Kilkenny, Grafton Street, Dublin.: Hodges, Smith, & co., uk. 22.
  • Johnston, Elva. "Munster, saints of (act. c.450–c.700)." Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press, Sept 2004, online edition May 200. Accessed: 14 Dec 2008.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.