Kié-Ntem

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kié-Ntem
Mahali paKié-Ntem
Mahali paKié-Ntem
Nchi Equatorial Guinea
Makao makuu Ebebiyín
Eneo
 - Jumla 3,943 km²
Idadi ya wakazi (2015)
 - Wakazi kwa ujumla 183,331[1]

Kié-Ntem ni mkoa wa Guinea ya Ikweta . Mji mkuu wake ni Ebebiyín .

Mkoa huo ni sehemu ya kanda la Rio Muni lililopo kwenye sehemu ya bara ya nchi. Kié-Ntem inapakana na tarafa zifuatazo za nchi:

Mkoa ulichukua jina lake kutoka Mto Kié na Mto Ntem (Campo).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Censo de población 2015–República de Guinea Ecuatorial" (PDF) (kwa Kihispania). INEGE. uk. 7. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 8 Oktoba 2017. Iliwekwa mnamo 8 Oktoba 2017. {{cite web}}: More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)