Kevin Akpoguma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kevin John Ufuoma Akpoguma

Kevin John Ufuoma Akpoguma (alizaliwa 19 Aprili 1995) ni mwanasoka wa kulipwa ambaye anacheza kama beki wa kati wa klabu ya Bundesliga 1899 Hoffenheim. [1] Mzaliwa wa Ujerumani, Akpoguma alikuwa mchezaji wa kimataifa wa vijana wa Ujerumani lakini alibadilisha na kuwakilisha timu ya taifa ya Nigeria.

Ushiriki Katika Kazi[hariri | hariri chanzo]

Akpoguma alitumia msimu miaka miwili 2016–17 kwa mkopo katika mechi 2. Fortuna Düsseldorf inayoshiriki Bundesliga. Mnamo tarehe 21 Aprili 2017.

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Kevin wazazi wake wana uzawa wa (mama Mjerumani na baba wa Nigeria), Kevin Akpoguma anastahili kuchezea Ujerumani na Nigeria. Amewakilisha Ujerumani katika ngazi ya vijana, akichezea timu za U16, U17, U18, U19, U20, na U21.

Heshima[hariri | hariri chanzo]

Binafsi

  • Medali ya Dhahabu ya Fritz Walter U18: 2013[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Akpoguma, Kevin" (kwa Kijerumani). kicker.de. Iliwekwa mnamo 14 Desemba 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Fritz-Walter-Medaille: Ginter auf Götzes Spuren" (kwa Kijerumani). 14 Agosti 2013. Iliwekwa mnamo 15 Agosti 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kevin Akpoguma kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.