Kassanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kassanda katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°32′48″N 31°49′11″E / 0.54667°N 31.81972°E / 0.54667; 31.81972

Kassanda ni mji katika wilaya ya Kasanda, katika eneo la Buganda nchini Uganda.

Mahali[hariri | hariri chanzo]

Kassanda iko takribani kilomita 58 (maili 36) mashariki mwa Mubende, eneo la makao makuu ya wilaya.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. GFC (19 Mei 2016). "Distance between Mubende Town Council Headquarters, Kampala, Mubende, Central Region, Uganda and Kassanda, Central Region, Uganda". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 19 Mei 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)